Udhanilizo ni mtazamo wa kimaana katika Pragmatiki ambapo mzungumzaji huchukulia kwamba
msikilizaji anafahamu taarifa fulani za awali kuhusu jambo linalozungumzwa kabla hujamweleza
taarifa mpya. Kwa mfano;-
o Siku hizi mumeo kaacha kunywa pombe
o Leo umechelewa na wewe
o Mtoto amepiga chafya tena
o Ameacha kuvuta bangi?
Sifa za udhanilizo
Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapokanushwa. Kwa mfano Seni ameingia darasani
au Seni hakuingia darasani
Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapobadilishwa.
Unaweza kubadilika kutokana na uchopekaji, udondoshaji na hata upanguaji
msikilizaji anafahamu taarifa fulani za awali kuhusu jambo linalozungumzwa kabla hujamweleza
taarifa mpya. Kwa mfano;-
o Siku hizi mumeo kaacha kunywa pombe
o Leo umechelewa na wewe
o Mtoto amepiga chafya tena
o Ameacha kuvuta bangi?
Sifa za udhanilizo
Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapokanushwa. Kwa mfano Seni ameingia darasani
au Seni hakuingia darasani
Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapobadilishwa.
Unaweza kubadilika kutokana na uchopekaji, udondoshaji na hata upanguaji