BREAKING NEWS: WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU
Arusha. Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.
Habahari zilizotufikiainaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.
Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.
Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.
Habahari zilizotufikiainaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.
Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.
Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.