Thursday

Taarifa Mpya Toka Bodi Ya Mikopo Kwa Wanafunzi Waliokosea Kutuma Maombi

0 comments

Bodi ya Mikopo ya Elimu Ya Juu-HESLB  imetoa taarifa mpya kwa wanafunzi waliokosea wakati wa kufanya maombi ya Mikopo yao kwa mwaka 2019/2020..

Taarifa hiyo imewataka wanafunzi kuingia katika Akaunti zao na kisha kufanya marekebisho.

Mwisho wa kufanya marekebisho hayo ni October 15.

Kwa taarifa zaidi  <<INGIA HAPA>>

Au OLAS <<HAPA>>

No comments:

Post a Comment