Saturday

USAJILI SIMBA: KWASI ,DOMINGOS WALIVYO MWAGAWINO SIMBA

0 comments

Antonio Domingos kushoto na Asante Kwasi kulia wakisaini mikataba ya kuitumikia Simba SC jana usiku. Inaelezwa kuwa wawili hao watajiunga na wenzao keshokutwa Jumatatu kwa ajili ya mazoezi.