Thursday

MATOKEO YA DARASA LA SABA (7) 2023

0 comments
MATOKEO YA DARASA LA SABA (7) 2023


 Matokeo ya Darasa la (7) Saba kwa Mwaka 2023 yatatangazwa Leo na katibu wa Baraza la mitihani Tanzania necta kuanzia majira ya saa 5 asubuhi ya leo November 23/2023. 

Matokeo hayo ya Darasa la 7 yatakuwa hapa kuanzia majira ya saa 5 asubuhi pia unaweza kuangalia matokeo hayo ya Darasa la 7 ,2023 katika tovuti ya Baraza la mitihani necta Tanzania kuanzia majira ya saa 5. Na nusu ili kuona matokeo hayo ya kuhitimu elimu ya msingi Tanzania.

Bofya >HAPA> kufungua matokeo ya Darasa la saba 2023

Matokeo hayo ya Darasa la saba kwa Mwaka 2023 yanatokana na mitihani ya kuhitimu darasa la 7 ambayo ilifanyika miezi miwili iliyopita ambapo WANAFUNZI watakaofaulu mtihani huo wataingia kidato Cha kwanza jaruary 2024

Je unahitaji kuona matokeo yote ya Darasa la 7 kwa WANAFUNZI walio fanya mtihani 2023 usikae mbali na tovuti hii tutaweka punde yatakapotangazwa na Baraza la mitihani Necta ambalo ndilo yenye dhamana ya kutangaza matokeo hayo 

No comments:

Post a Comment