Sunday

KUHUSU SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA NA CHA TANO 2021

0 comments

 




Baraza la mitihani Tanzania NECTA  limetangaza matokeo ya kuhitimu Darasa la saba hivi leo. Bofya hapa kuona matokeo ya shule zote >>>HAPA>>
Mkoa wa Dar es Salaam umeshika nafasi ya kwanza kitaifa.

Baada ya baraza la mitihani tanzania NECTA, kutangaza matokeo ya kuhitimu kwa darasa la saba  kwa mwaka 2021, wengi wamekuwa wakiuliza ni lini hasa wanafunzi waliofaulu watapangiwa shule, Jibu lililopo kwa sasa ni kuwa baada ya baraza la mitihani kutangaza mabadiliko ya utolewaji wa machaguo  na kuwa machaguo yakidato cha kwanza yatatolewa pamoja na yale ya kidato cha tano, hivyo kwa  darasa la saba kwenda kidato cha kwanza watalazimika kusubiri mpaka matokeo ya kidato cha nne 2021 yatakapotolewa ndipo machaguo hayo  yatolewe kwa pamoja na huweza kuwa kati ya kipindi cha  mwezi wa 12  mwaka huu

No comments:

Post a Comment