Wednesday

PICHAZ, AJALI YA BASI, TRENI, YAUA 11, NA KUJERUHI 28 KIGOMA

0 comments

34594912_1884133788293189_6528914133226618880_n
Matukio ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya leo June 6, 2018 majira ya asubuhi, Watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni ya Mizigo katika makutano ya reli eneo la Gungu, Manispaa ya Kigoma mkoani Kigoma.

Basi hilo la Princes Amida linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Tabora limegongana na Gari Moshi ( treni ) na kusababisha  Majeruhi waliopo hospitali ya Maweni ni 28 na 4 wameripotiwa kuwa  katika hali mbaya.

Katika ukurasa wake wa kijamii wa Facebook,Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe.Zitto Kabwe ameungana naWanakigoma kuwatakia majeruhi waliopo hospitalini Mola awape nafuu ya kupona haraka na kutoa pole kwa ndugu na jamaa wa marehemu.

Taarifa Zaidi juu ya ajali hii endelea Kutembelea hapa. Masshele blog-Picha Na Adrian Eustus – Kigoma.

Hapa chini ni sehemu ya Picha za Ajali hiyo.
34501175_1884133871626514_8642388722643369984_n
34560795_1884133844959850_8780368884944338944_n
34484047_1884133948293173_2451770969841205248_n
34499450_1884133881626513_778116789769863168_n
34509851_1884133834959851_1309654185611886592_n
34527408_1884133731626528_1470289711988736000_n
34583004_1884133748293193_1310957798380535808_n
34596865_1884133764959858_1899493340135555072_n
34598175_1884133824959852_1522685027349954560_n
34646754_1884133801626521_7351556724400062464_n%2B%25281%2529
34720357_1884133721626529_3673084824999952384_n