
Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano AWAMU YA TATU
TAARIFA KWA UMMA


Mwanafunzi mara uonapo jina lako kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwamba umechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano, inabidi ku-download fomu ya kujiunga na shule husika kwenye mtandao.
Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano Awamu ya Tatu mwaka mwaka 2017 pamoja na fomu za kujiunga na shule (joining instructions) inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ya www.tamisemi.go.tz


Imetolewa na Katibu Mkuu,


Ofisi ya Rais -TAMISEMI
BOFYA>Kidato cha 5 Awamu ya Tatu kwa mwaka 2017
BOFYA>>Fomu za kujiunga na Shule 2017, JIUNGE NA MASSHELE BLOG KWAKUTEXT WHATSAPP NO +255766605392